Back to home

Walimu wa JS waandamana mjini Mbale wakitaka kuajiriwa kwa mikataba ya kudumu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 8, 2026
1h ago
Walimu katika kaunti ya Vihiga wamefanya matembezi ya amani hadi kwa ofisi za tume ya kuwaajiri walimu nchini (TSC) mjini Mbale kuwasilisha ombi la kutaka walimu wanagenzi wa js kuajiriwa kwa mikataba ya kudumu. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today an
Advertisement