Back to home
Ongezeko la wagonjwa kutoka Uganda laibua changamoto Busia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 8, 2026
1h ago
Hospitali ya Rufaa ya Busia inazidi kukadiria hasara maradufu kutokana na ongezeko la wagonjwa kutoka nchi jirani ya Uganda na humu nchini wanaoshindwa kulipa bili za matibabu.
Akizungumza na wanahabari mjini Busia, naibu gavana wa Busia ambaye pia ni waziri wa Afya kaunti hiyo A
Advertisement
Advertisement





