Back to home

Balozi wa Israel asema ushirikiano na kaunti ya Makueni katika nyanja tofauti utaendelea

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 8, 2026
1h ago
Balozi wa taifa la Israeli humu nchini Gideon Behar amesema taifa la Israeli litaendelea kushirikiana na Kenya katika maswala mbalimbali ikiwemo afya. Akizungumza mjini wote kaunti ya Makueni alipofungua warsha ya kutoa mafunzo maalum ya matibabu ya watoto kwa madktari na wauguz
Advertisement