Back to home

Dhana potovu na ukosefu wa maadili zinachangia idadi ndogo ya wanafunzi katika vyuo vya kiufundi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 8, 2026
1h ago
Ukosefu wa maadili na dhana potovu ya kupokea masomo kwa miaka mitatu imetajwa kama changamoto kuu inayokumba vyuo vya ufundi kuendelea kurekodi idadi ndogo ya wanafunzi nchini. Akiongea huko mombasa katika hafla ya ufunguzi wa kongamano linalolenga kubuni mikakati ya kuhakikisha
Advertisement