Back to home

Chuo kikuu cha Kenyatta chanyakua ubingwa wa Eric Marcelo Ouma Supa Eight

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 2, 2026
3h ago
Chuo kikuu cha Kenyatta kimechukua ubingwa wa kwanza wa mashindano ya Eric Marcelo Ouma Supa Eight baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-3 kwa mikwaju ya penalti dhidi ya wenyeji, Strathmore .
Advertisement