Back to home

Wataalamu wa uholanzi waandaa kongamano la maji ya ardhini Turkana

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 2, 2026
3h ago
Wataalamu na watafiti wa maji ya ardhini kutoka Netherlands wameandaa kongamano katika chuo kikuu cha Turkana mjini Lodwar, Kaunti ya Turkana County, kujadili mbinu za kuvuna maji ya ardhini na matumizi bora ya rasilimali hiyo.
Advertisement