Back to home

Wakazi wa Kiambu, Wajir na Vihiga wapinga ushuru mpya

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 2, 2026
1mo ago
Wakazi wa kaunti ya Kiambu, Wajir na Vihiga wamelalamikia ushuru wa juu wanaotozwa wananchi wakshinikiza kupunguzwa kwa bei ya bidhaa na mafuta . Kwenye vikao vya kutoa maoni kuhusu mswada w afedha wa mwaka wa 2026, wakazi hao wamepinga kuwepo kwa ushuru mpya wa bidhaa na huduma

More on this topic

Kiambu, Wajir, Vihiga Residents Protest New Taxes - June 2026

Residents in Kiambu, Wajir, and Vihiga counties are protesting increased taxes, demanding reductions in the prices of goods and fuel. Five activists have been brought before a court in Kenya accused of inciting violence across the country. The Member of Parliament for West Mugirango, Stephen Mogaka, has criticized political leaders and citizens opposing the Financial Bill 2026. Mitumba traders are advocating for a 5% presumptive tax to be implemented, addressing challenges within their sector.

4 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement