Back to home

Wakazi wa Kiambu, Wajir na Vihiga wapinga ushuru mpya

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 2, 2026
1h ago
Wakazi wa kaunti ya Kiambu, Wajir na Vihiga wamelalamikia ushuru wa juu wanaotozwa wananchi wakshinikiza kupunguzwa kwa bei ya bidhaa na mafuta . Kwenye vikao vya kutoa maoni kuhusu mswada w afedha wa mwaka wa 2026, wakazi hao wamepinga kuwepo kwa ushuru mpya wa bidhaa na huduma
Advertisement