Back to home

Mbunge wa Mugirango magharibi awakosoa wanaopinga mswada wa kifedha wa mwaka 2026

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 3, 2026
1w ago
Mbunge wa Mugirango Magharibi Stephen Mogaka awakosoa viongozi wa kisiasa na wananchi wanaopinga mswada wa kifedha wa mwaka 2026 kwenye hafla za umma, na badala yake awashauri kujitokeza kwenye hafla za kukusanya maoni ya umma kuhusiana mswada huo ili kutoa mapendekezo yao.

More on this topic

Hassan Joho Condemns Fake Mining Licenses in Kenya - June 2026

Kenya's Cabinet Secretary for Mining, Hassan Joho, has issued a stern warning against the issuance of illegal mining licences and the subsequent loss of national revenue. Hassan Joho has strongly condemned the issuance of fake mining licenses in Kenya, highlighting the issue during a time when the nation is also grappling with a widespread matatu strike. Beneficiaries of the Nyota project will receive the second tranche of startup capital by June 30.

5 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement