Back to home

Mbunge wa Mugirango magharibi awakosoa wanaopinga mswada wa kifedha wa mwaka 2026

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 3, 2026
1h ago
Mbunge wa Mugirango Magharibi Stephen Mogaka awakosoa viongozi wa kisiasa na wananchi wanaopinga mswada wa kifedha wa mwaka 2026 kwenye hafla za umma, na badala yake awashauri kujitokeza kwenye hafla za kukusanya maoni ya umma kuhusiana mswada huo ili kutoa mapendekezo yao.
Advertisement