Back to home
Serikali yaweka lami barabara ya Maungu hadi Kasighau
video
C
Citizen TV (Youtube)June 3, 2026
1h ago
Serikali ya kitaifa itaweka lami barabara ya Maungu hadi Kasighau kaunti ya Taita Taveta baada ya viongozi eneo hilo kutaka barabara hiyo kushugulikiwa kutokana na umuhimu wake hasa kwenye sekta ya madini na kilimo.
Advertisement
Advertisement





