Back to home
Wakazi wa Kaunti ya Kajiado wataka serikali kuchukua hatua dhidi ya matamshi chuki
video
C
Citizen TV (Youtube)July 24, 2026
2h ago
Wakazi wa Kaunti ya Kajiado waitaka tume ya kitaifa ya uwiano na utangamano NCIC kuchukua hatua dhidi ya matamshi yadaiwayo kuwa ya uchochezi wa kikabila, wakisema yatishia amani na mshikamano wa jamii.
Advertisement
Advertisement





