Back to home

Serikali ya kaunti ya Kajiado yafadhili makundi ya kilimo na wafugaji

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 16, 2026
2h ago
Makundi mbalimbali ya wakulima, wafugaji na wafanyabiashara katika Kaunti ya Kajiado yapokea jumla ya shilingi milioni arobaini na saba kupitia ushirikiano kati ya Serikali ya Kaunti ya Kajiado na mradi wa ukuzaji wa kilimo nchini.
Advertisement