Back to home
Serikali ya kaunti ya Kisii yazindua mpango wa kazi mashinani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2026
1h ago
Serikali ya kaunti ya Kisii yaazindua mpango wa kazi mashinani utakaotoa ajira kwa vijana zaidi ya 2,000 . Kadhalika , kaunti ya Kisii yaongeza mashine kadhaa za ujenzi wa barabara pamoja na zile za kuzoa taka maeneo mbalimbali.
Advertisement
Advertisement





