Back to home
Serikali yatangaza mpango wa kupunguza bei ya dizeli
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
2h ago
Waziri wa Kawi na petroli Opiyo Wandayi sasa anasema kuwa serikali itapunguza bei ya Diseli katika taarifa ijayo ya halmashauri ya kudhibiti bei za petroli EPRA inayotarajiwa jumapili. Waziri Wandayi akisema kuwa kupunguzwa kwa bei ya diseli kutawapa afueni kubwa wafanyabiashara
Advertisement
Advertisement





