Back to home
Serikali yasifiwa kwa mpango wa marupurupu kwa wazee wa vijiji
video
C
Citizen TV (Youtube)June 18, 2026
2h ago
Serikali ya Kitaifa imepongezwa kwa mpango wa kuwapatia wazee wa vijiji marupurupu ya kila mwezi, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wao na machifu pamoja na vyombo vya usalama katika utekelezaji wa majukumu ya kiutawala na kiusalama mashinani.
Advertisement
Advertisement





