Back to home

Wahudumu wa bodaboda kaunti ya Mombasa wataka kaunti itimize ahadi ilizotoa.

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 3, 2026
1h ago
Wahudumu wa bodaboda kaunti ya Mombasa watoa makataa ya siku saba wakitaka serikali ya kaunti kutimiza ahadi walizotia saini zaidi ya miaka mitatu iliyopita.
Advertisement