Back to home
Upinzani watetea Uhuru, wamkosoa Ruto kuhusu uchumi
video
C
Citizen TV (Youtube)June 3, 2026
2h ago
Wabunge wa upinzani sasa wamemtetea Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kutokana na madai ya chama cha UDA kuwa alisambaratisha uchumi wa taifa alipokuwa uongozini. Wabunge hao wamemnyoshea kidole cha lawama Rais William Ruto wakisema anakosoa serikali ya awali ilhali alikuwa naibu rais
Advertisement
Advertisement





