Back to home

Korir kuongoza kikosi cha wanariadha katika mbio za Nairobi City Marathon

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 4, 2026
1h ago
Jonathan Kipleting Korir aliyemaliza katika nafasi ya nne kwenye mbio za Berlin Marathon ataongoza kikosi imara cha wanariadha katika mbio za Nairobi City Marathon Jumapili hii huku jiji kuu la Nairobi likiandaa awamu ya tano ya mbio hizo.
Advertisement