Back to home
Maelfu wafurika Ekalakala kuwapokea watangazaji wa Musyi FM
video
C
Citizen TV (Youtube)June 4, 2026
1h ago
Shamrashamra zilitanda katika Soko la Ekalakala, Masinga, Kaunti ya Machakos, huku maelfu ya wakazi wakijitokeza kuwapokea watangazaji wa kituo cha redio cha Musyi FM, kinachoongoza kwa matangazo katika lugha ya kikamba eneo la mashariki mwa nchi.
Advertisement
Advertisement





