Back to home

Mashabiki wa AFC Leopards wawahongera mahasimu wao Gor Mahia kwa kunyakua taji lao la 22 la ligi kuu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 5, 2026
1h ago
Baadhi ya mashabiki wa AFC Leopards wamewahongera mahasimu wao Gor Mahia kwa kunyakua taji lao la 22 la ligi kuu ya kandanda humu nchini. Ingwe walimaliza wa pili na alama 64, 5 nyuma ya mabingwa Kogalo waliohitimisha msimu na alama 69. Subscribe and watch NTV Kenya live for la
Advertisement