Back to home
Mtaa wa Chuna Katika mji wa Kitengela kaunti ya Kajiado wapata sura mpya
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 5, 2026
1h ago
Mtaa wa Chuna Katika Mji wa Kitengela kaunti ya Kajiado umepata sura mpya baada ya wakazi kwa Ushirikiano na Mamlaka ya kusimamia barabara za mashinani KeRRA kushirikiana kujenga kilomita moja ya barabara ya lami inayounganisha barabara kuu na eneo hilo.
Subscribe and watch NTV
Advertisement
Advertisement





