Back to home

Milioni 3.4 watumia baiskeli Beijing kukabiliana na uchafuzi wa hewa

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 6, 2026
2h ago
Ongezeko la uchafuzi wa hali ya hewa ambalo ni tatizo kubwa nchini China limesababisha utumizi wa baiskeli kama mbinu endelevu ya usafiri kurejea kwa kishindo katika jiji la Beijing. Kupitia teknolojia na ubunifu, wakazi wa jiji hilo wanatumia kiunzi kwenye simu za rununu kuagiza
Advertisement