Back to home
Wizara ya Afya yajitokeza kusema Kenya iko tayari kugundua na kudhibiti Ebola
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 6, 2026
3h ago
Siku moja tu baada ya wakazi wa Kaunti ya Busia kueleza wasiwasi wao kuhusu mpango wa kuanzisha kituo cha karantini ya Ebola katika Hospitali ya Rufaa ya Alupe, Wizara ya Afya imejitokeza kuwahakikishia wananchi kuwa Kenya iko tayari kugundua na kudhibiti endapo kutatokea maambuk
Advertisement
Advertisement





