Back to home

IEBC yakabiliwa na upungufu wa Sh33 bilioni kuelekea uchaguzi wa 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 6, 2026
1mo ago
Bajeti ya IEBC ina upungufu wa zaidi ya shilingi bilioni 33. Tume hiyo ilikuwa imeashiria kuwa inahitaji shilingi bilioni 74.8 ili kuandaa uchaguzi mkuu wa mwaka 2027, ila imetengewa shilingi bilioni 41.3. IEBC inasema ilihitaji pesa hizo ili kugharamia vifaa vipya vya kuwatambua

More on this topic

Kalonzo Musyoka launches his 2027 campaign platform dubbed 'Komboa Kenya' - June 2026

Kalonzo Musyoka has officially launched his 2027 presidential campaign platform, branded as 'Komboa Kenya', signaling his intent to vie for the country's top leadership position in the upcoming general election. Stephen Kalonzo Musyoka, leader of the Wiper Patriotic Front, has launched a new digital platform as part of his strategy to compete for the presidency in 2027. A 30-year-old woman, Irene Kendi, has declared her bid to run for the presidency in Kenya's 2027 general election. The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) is facing a significant budget shortfall of over Sh33 billion as it prepares for the 2027 general election.

5 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement