Back to home
IEBC yakabiliwa na upungufu wa Sh33 bilioni kuelekea uchaguzi wa 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)June 6, 2026
2h ago
Bajeti ya IEBC ina upungufu wa zaidi ya shilingi bilioni 33. Tume hiyo ilikuwa imeashiria kuwa inahitaji shilingi bilioni 74.8 ili kuandaa uchaguzi mkuu wa mwaka 2027, ila imetengewa shilingi bilioni 41.3. IEBC inasema ilihitaji pesa hizo ili kugharamia vifaa vipya vya kuwatambua
Advertisement
Advertisement



