Back to home
EACC yahamasisha umma kwenye kampeni ya wiki moja Kakamega
video
C
Citizen TV (Youtube)June 9, 2026
1h ago
Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) yaanzisha kampeni ya wiki moja dhidi ya ufisadi katika Kaunti ya Kakamega kwa lengo la kuhamasisha umma kuhusu maadili na kuwawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika vita dhidi ya ufisadi.
Advertisement
Advertisement




