Back to home
Hofu yatanda Mwingi baada ya kupatikana kwa vipande vya miili ya binadamu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 9, 2026
1h ago
Wakazi wa Mwingi wamegubikwa na hofu kufuatia kupatikana kwa vipande vya miili ya binadamu vilivyodaiwa kuzikwa katika maeneo ya mji huo. Tukio hilo limezua maswali na wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuwepo kwa makaburi ya halaiki, huku maafisa wa usalama wakianzisha uchunguzi kubai
Advertisement
Advertisement




