Back to home

Ujenzi wa bewa la Ng'eno la chuo kikuu cha Maasai Mara wafikiwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2026
1h ago
Hatimaye maafikiano kuhusu eneo la ujenzi wa bewa la Chuo Kikuu cha Maasai Mara kwa heshima ya aliyekuwa mbunge wa Emurua Dikirr marehemu Johanna Ng'eno katika kijiji cha Simotwet eneo bunge la Emurua Dikirr yakamilika.
Advertisement