Back to home

Wakimbizi wa Kakuma walalamikia kucheleweshwa kwa stakabadhi za usafiri

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2026
1h ago
Wakimbizi katika kambi la Kakuma wameelezea wasiwasi wao kuhusu kucheleweshwa kwa stakabadhi za usafiri, wakisema hali hiyo imewafanya wengi kukosa fursa za ufadhili wa masomo na safari za masomo au kazi nje ya nchi. Kauli hiyo ilitolewa wakati wa mkutano ulioandaliwa na LLEARN k
Advertisement