Back to home

Ogamba azungumzia matukio ya shule yanayoitikisa sekta ya elimu

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2026
1h ago
Julius Ogamba anazungumza na wanahabari kuhusu matukio ya utovu wa nidhamu na visa vya moto vinavyoathiri sekta ya elimu nchini. Kauli yake inajiri kufuatia mkasa wa moto katika Shule ya Wasichana ya Utumishi, Gilgil, uliosababisha vifo vya wanafunzi 16, huku shule nyingine kadha
Advertisement