Back to home
Harambee Stars yarejea nchini baada ya mechi za kirafiki Afrika Kusini
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
2h ago
Harambee Stars ilirejea nchini Jumanne kutoka South Africa ambako ilicheza mechi mbili za kirafiki za kimataifa. Timu hiyo inatarajiwa kutumia matokeo ya mechi hizo kuimarisha maandalizi yake kwa mashindano na mechi zijazo.
Advertisement
Advertisement





