Back to home

Ruto aeleza wasiwasi wa Ebola nchini huku akitetea mradi wa Karantini Laikipia

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2026
2h ago
Rais William Ruto ameiambia jamii ya kimataifa kuwa ugonjwa wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo ni wasiwasi mkubwa kwa Kenya. Akizungumza nchini Finland, Rais Ruto ameendelea kutetea hatua ya serikali ya Kenya kushirikiana na United States kujenga kituo cha karantini
Advertisement