Back to home

Familia yasubiri kutambua mwili wa mwathiriwa wa maandamano Laikipia

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2026
2h ago
Familia ya mwathiriwa wa maandamano ya kupinga ujenzi wa kituo cha karantini ya Ebola katika kaunti ya Laikipia ingali kutambua mwili wake ambao umesalia katika makafani ya Hospitali ya Rufaa ya Nanyuki. Haya yanajiri huku majeruhi wa risasi wakijitokeza kudai haki na kuwalaumu m
Advertisement