Back to home
Wakazi wa Busia waonywa dhidi ya kuuza mahindi kwa bei ya chini
video
C
Citizen TV (Youtube)July 27, 2026
1h ago
Wakazi wa kaunti ya Busia wameonywa dhidi ya kuuza mahindi kwa bei ya chini kwa mawakala. Viongozi wa serikali wamewashauri wakazi kutumia chakula chao vizuri kwani ukosefu wa mvua umesababisha uhaba mkubwa wa zao la mahindi .
Advertisement
Advertisement





