Back to home
Mahakama ya Mombasa yawapata watu watatu na hatia ya mauaji ya mfanyabiashara Kilifi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 27, 2026
1h ago
Mahakama ya Mombasa imewapata watu watatu na hatia ya mauwaji ya mfanyabiashara Kassim Jiraw mnamo machi mwaka 2018 eneo la lango baya kaunti ya Kilifi
Advertisement
Advertisement




