Back to home

Moshi wa eno la Kutupia katika kaunti ya Kajiado watatiza wakazi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 12, 2026
2h ago
Wakazi wa wadi ya Kaputiei Kaskazini, kaunti ya Kajiado, waibua wasiwasi kuhusu uchafuzi wa mazingira ambao wadaiwa kusababishwa na moshi kutoka eneo la kuhifadhi taka hatarishi la ECCL katika eneo la Empuyiankat.
Advertisement