Back to home
Moshi wa eno la Kutupia katika kaunti ya Kajiado watatiza wakazi
video
C
Citizen TV (Youtube)June 12, 2026
2h ago
Wakazi wa wadi ya Kaputiei Kaskazini, kaunti ya Kajiado, waibua wasiwasi kuhusu uchafuzi wa mazingira ambao wadaiwa kusababishwa na moshi kutoka eneo la kuhifadhi taka hatarishi la ECCL katika eneo la Empuyiankat.
Advertisement
Advertisement





