Back to home

Wakaazi wa Kaunti ya Laikipia waeleza kutoridhishwa kwao na makadirio ya bajeti ya mwaka 2026/2027

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 12, 2026
1h ago
Wakazi wa Kaunti ya Laikipia wameeleza kutoridhishwa kwao na makadirio ya bajeti ya mwaka 2026/2027 yaliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha, John Mbadi, wakisema yatawalemea zaidi kifedha . Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement