Back to home

Ruto atetea safari zake za nje ya nchi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 12, 2026
2h ago
Rais William Ruto ametetea safari zake za mara kwa mara nje ya nchi akisema yeye ni Balozi mkuu wa nchi na kwamba safari hizo si za mapumziko. Katika mkutano na viongozi kutoka Marsabit katika Ikulu ya Nairobi, Rais alisema wale wanaosema yeye ni mwongo wanapaswa kuangalia rekodi
Advertisement