Back to home
Vijana kuwasilisha mswada bungeni kuhakikisha wanashirikishwa katika mchakato wa kuandaa bajeti
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 13, 2026
2h ago
Baadhi ya vijana wa kizazi cha Gen Z wameapa kuwasilisha mswada bungeni unaolenga kuhakikisha vijana wanashirikishwa kikamilifu katika mchakato wa kuandaa bajeti ya taifa kabla ya kutangazwa kila mwaka.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyda
Advertisement
Advertisement





