Back to home

Viongozi kutoka Kaunti ya Baringo waitaka wizara ya elimu kutatua pepo wa mafuriko Baringo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 13, 2026
2h ago
Viongozi kutoka Kaunti ya Baringo wameitaka Wizara ya Elimu kutenga fedha za dharura kutoka kwenye bajeti ya kitaifa iliyotolewa ili kusaidia shule zilizoathiriki na mafuriko kutokana na kuongezeka kwa kina cha maji katika Maziwa ya Baringo na Bogoria . #NTVWikendi @MwakaFridah
Advertisement