Back to home
Katibu wa idara ya Misitu asema ujenzi wa ikulu ndogo katika msitu wa Imenti utaendelea
video
C
Citizen TV (Youtube)June 14, 2026
2h ago
Katika hatua nyingine inayoonyesha ukaidi wa serikali kwa amri za mahakama, Katibu katika idara ya Misitu Gitonga Mugambi, amesisitiza kuwa maandalizi ya ardhi katika msitu wa Imenti yanaeendelea kwa ujenzi wa uwanja wa ndege. Wanaharakati wa mazingira wamepinga ujenzi wa uwanja
Advertisement
Advertisement





