Back to home
Viongozi wa Magharibi watetea serikali, wapuuza ziara ya upinzani
video
C
Citizen TV (Youtube)June 15, 2026
2h ago
Viongozi wa eneo la magharibi wanaounga mkono serikali wamepuuzilia mbali ziara ya siku tatu ya viongozi upinzani eneo hilo. Wakiongozwa na gavana wa Bungoma Ken Lusaka, wanasiasa hawa wameendelea kuwalaumu kwa kukosa ajenda haswa kwa eneo hilo. Viongozi wengine waliokuwa kaunti
Advertisement
Advertisement




