Back to home

Israel yaiondoa Kenya kwenye vikwazo vya Ebola

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 15, 2026
2h ago
Israel imeiondoa Kenya kwenye orodha ya mataifa yaliyowekewa vikwazo vya muda kuingia nchini humo kutokana na hofu ya ugonjwa wa Ebola. Tangazo hilo limetolewa saa chache baada ya Katibu wa Wizara ya mambo ya kigeni Korir Sing’oei, kupinga hatua ya kuiweka Kenya kwenye orodha h
Advertisement