Back to home
Walimu wa chekechea kaunti ya Nandi waandamana
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
1h ago
Shughuli za Elimu katika shule za chekechea (ECDE) kaunti ya Nandi zatatizika baada ya walimu wa ECDE kuandamana katika mji wa Kapsabet wakidai kuboreshwa kwa maslahi yao na mazingira ya kazi.
Advertisement
Advertisement





