Back to home

Uhaba wa maji safi bado ni changamoto katika shule nyingi mashinani

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 17, 2026
1h ago
Upatikanaji wa maji safi ya matumizi bado ni changamoto katika shule nyingi, hasa katika maeneo ya mashinani. Hali hiyo ilidhihirika wazi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika mjini Homa Bay.
Advertisement