Back to home

Mkasa wa moto kwenye bweni wasababisha maafa katitika shule ya wasichana ya Utumishi Gilgil

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 28, 2026
1h ago
Wanafunzi 16 wa shule ya wasichana ya Utumishi huko Gilgil, kaunti ya Nakuru wafariki huku wengine 79 wakikimbizwa hospotalini ambapo 7 wangali wamelazwa. Hii ni kutokana na Mkasa wa moto kwenye bweni. Maafisa wakuu wa usalama akiwemo waziri wa usalama Kipchumba Murkomen wafika k
Advertisement