Back to home

CECAFA na FKF wagongana kuhusu uamuzi wa mechi iliyotibuka ya Kenya vs Sudan

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 18, 2026
1h ago
Kamati kuu ya Shirikisho la Kandanda la Afrika Mashariki CECAFA imetoa uamuzi wa mechi iliyotibuka kati ya Kenya na Sudan kwenye michuano ya Kombe la CECAFA kwa chipukizi. Hata hivyo, uamuzi huo umepingwa vikali na Shirikisho la Kandanda nchini Football Kenya Federation.
Advertisement