Back to home
Wataalamu waonya kuhusu afya ya akili kwa wanaume
video
C
Citizen TV (Youtube)June 18, 2026
2h ago
Mara nyingi wanaume wanapopatwa na msongo wa mawazo hawatafuti ushauri nasaha. Hali hiyo imechangia kudorora kwa afya ya akili kwa wanaume wengi nchini. Catherine Gatwiri kutoka kituo cha Equity Afya Kitengela anazungumzia umuhimu wa kuzingatia afya ya akili, dalili za kuashiria
Advertisement
Advertisement




