Back to home
Kaunti yazindua kituo cha saratani katika hospitali ya rufaa ya Kilifi
video
C
Citizen TV (Youtube)June 19, 2026
1h ago
Serikali ya kaunti ya Kilifi yapiga hatua katika sekta ya afya kwa kuzindua kituo cha kwanza cha saratani ili kukabili ugonjwa huo katika eneo la Pwani Kaskazini .
Advertisement
Advertisement





