Back to home
Wazazi washauriwa kusikiliza yanayowasibu wana wao katika kaunti ya Bomet
video
C
Citizen TV (Youtube)June 19, 2026
2h ago
Mwalimu mkuu wa shule ya Cheboingong kaunti ya Bomet Rodrick Chepkwony awataka wazazi na walezi kutumia likizo fupi kuwaelekeza watoto wao huku nchi ikikabiliwa na wimbi la machafuko shuleni. Asisitiza kuwa ongezeko la visa vya utovu wa nidhamu na machafuko shuleni ni kwa sababu
Advertisement
Advertisement





