Back to home
TSC yatia saini mkataba na vyama vitatu vya walimu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 19, 2026
2h ago
Tume ya huduma ya walimu yatia saini mwongozo mpya wa kuendelea na kazi ambao yatarajiwa kuwapa walimu nafasi zaidi za kupandishwa vyeo, na kukomesha kile wanachotaja kama ukwamishaji wa maendeleo ya vyeo kutokana na makubaliano ya mwisho waliyotia saini mwaka wa 2018.
Advertisement
Advertisement





