Back to home

Mama mmoja huko Donholm adai alivunjwa mkono na mumewe mwanajeshi na bado mshukiwa hajakamatwa.

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 19, 2026
2h ago
Mama mmoja adaiye kupigwa na kujeruhiwa vibaya na afisa wa KDF huko Gilgil mwaka wa 2025 asema kuwa hajasaidiwa na polisi katika juhudi za kutafuta haki wala mshukiwa kukamatwa.
Advertisement